Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yapanua wigo kwa wabunifu kutenga bilioni 5.5

Na Barnabas Kisengi, Dodoma Wabunifu watengewa bilioni 5.5 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Eliamana Sedoyoka amesema Serikali imepanua    wigo wa bajeti ya masuala ya ubunifu nchini kutoka Sh.Bilioni moja kwa mwaka 2021/22 hadi kufikia Sh.Bilioni 5.5 kwa mwaka ujao wa fedha 2022/23. Hayo yameelezwa leo  Jijini Dodoma  na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo  Prof.Eliamani Sedoyeka,wakati