Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yapanua wigo kwa wabunifu kutenga bilioni 5.5
Na Barnabas Kisengi, Dodoma Wabunifu watengewa bilioni 5.5 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Eliamana Sedoyoka amesema Serikali imepanua wigo wa bajeti ya masuala ya ubunifu nchini kutoka Sh.Bilioni moja kwa mwaka 2021/22 hadi kufikia Sh.Bilioni 5.5 kwa mwaka ujao wa fedha 2022/23. Hayo yameelezwa leo Jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof.Eliamani Sedoyeka,wakati
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed